Friday, February 5, 2016


Feb 4 2016 Mbunge wa viti maalum  CHADEMA Jimbo la Iramba Magharibi Jesca Kishoa ameingia kwenye headline baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge vilivyo salia baada ya kukataa kufuta kauli yake ya kumtuhumu Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Harrison M
wakyembe. Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini.

0 comments:

Post a Comment