Tuesday, February 16, 2016

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya mabadiliko makubwa baada ya kuwahamisha wafanyakazi 104 waliokuwa Mkoa wa Dar es Salaam na kuwapeleka mikoa mbalimbali nchini.
Mbali na wafanyakazi hao, uhamisho huo umemkumba pia mmoja wa wakurugenzi wake, Aboubakar Kunenge ambaye alikuwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala aliyehamishiwa mkoani Rukwa.

0 comments:

Post a Comment