Wednesday, February 10, 2016

Obovu wa soko la Album Tanzania haujamtisha Diamond ambaye ametangaza kuwa Album yake mpya inakuja hivi karibuni.
Diamond amesema Album yake mpya pamoja na ya msanii ambaye yupo chini ya label yake Harmonize zimetengenezwa chini ya Studio zake za Wasafi

0 comments:

Post a Comment