Friday, February 26, 2016

Diva Amejikuta Katika wakati mgumu baada ya Dada mmoja anajiita Ms_Resty huko instagram kumrushia shutuma za kung'ang'ania shilingi laki saba za msaada zilizochangwa na watu kumsaidia mtoto kilema kupitia kipindi cha Ala za roho cha anachokiendesha radioni...
Mpaka sasa Diva hajasema chochote kuhusu tuhuma hizi alizoangushiwa...

0 comments:

Post a Comment