Diva
Amejikuta Katika wakati mgumu baada ya Dada mmoja anajiita Ms_Resty
huko instagram kumrushia shutuma za kung'ang'ania shilingi laki saba za
msaada zilizochangwa na watu kumsaidia mtoto kilema kupitia kipindi cha
Ala za roho cha anachokiendesha radioni...
Mpaka sasa Diva hajasema chochote kuhusu tuhuma hizi alizoangushiwa...

0 comments:
Post a Comment