Saturday, February 27, 2016


INFANTINO

Gianni Infantino amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).

Infantino amempiga boa mpinzani wake mkubwa Sheikh Salman al-Khalifa.

Infantino ameibuka na ushindi wa kura 115 dhidi ya Sheikh Salman aliyepata 88.

0 comments:

Post a Comment