Diamond, Nay wa Mitego na Alaine wa Jamaica waingia studio kutayarisha wimbo
Diamond Platnumz, Nay wa Mitego pamoja na msanii mwana dada wa Jamaica, Alaine wameingia studio kwa kile kinachoonekana kama kurekodi wimbo kolabo.
Bado haijulikani ni nani amemshirikisha nani lakini kuna uwezekano mkubwa Alaine amemshirikisha Diamond.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

0 comments:
Post a Comment