Thursday, February 4, 2016

Mpaka jumatatu ya tarehe 02.02.2016 Mama wa kwanza wa Tanzania ‪#‎JanethMagufuli‬
alikuwa bado ni ‪#‎mwalimu‬.
Lakini kutokana na majukumu makubwa kwa taifa letu ili bidi aende kazini kwakwe kwenda kuaga kwanza.

0 comments:

Post a Comment