Monday, February 1, 2016

Leo bungeni nikiihoji serikali katika swala la kero ya upungufu wa madawa katika hospital ya kibena wilaya ya njombe na uchakavu wa majengo ya hospital ......majibu ya serikali katika bajeti ya mwaka 2015/2016 imepanga kutumia shilingi milioni 260 kwa ajili ya ujenzi wa uzio na ukarabati wa chumba cha X-Ray na vile vile zimeshaletwa shilingi milioni 77.78 mil kati 106 milioni zilizotengwa kwa ajili ya ununuzi wa madawa lkn kubwa zaidi ivi sasa serikali iko kwenye mpango wa kupandisha hospital ya kibena kuwa hospital ya rufaa ya mkoa wa njombe...



0 comments:

Post a Comment