Mimba ya staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu
iliyokuwa gumzo kila kona, ni kama puto kwani baada ya kupulizwa, kujaa
na kuvuma sana, hatimaye limepasuka na kuacha vilio kwa familia na watu
wake wa karibu, Risasi Mchanganyiko linaweza kuripoti.
Chanzo
chetu makini kilichoomba hifadhi ya jina lake ili kulinda ‘ushosti’
wake na Wema, kimeliambia gazeti hili kuwa mimba ya supastaa huyo,
ambayo inadaiwa kutojulikana mhusika halisi, imetoka baada ya kuharibika
muda mfupi tangu watoke kujiachia katika viwanja vya maraha jijini

0 comments:
Post a Comment