Posted by Williammalecela.com on Tuesday, February 09, 2016
MIMBA ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu inazidi kuzua ya kuzua kila kukicha baada ya hivi karibuni, Mshindi wa Big Brother Africa Hot Shots 2015, Idriss Sultan ambaye anajigamba kuwa ndiye mwenye ujauzito huo kupachikwa jina la Dk. Mwaka.
0 comments:
Post a Comment