Posted by Williammalecela.com on Saturday, February 06, 2016
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na usalama Mkoa wamekagua mpaka wa Tanzania na Kenya amekagua alama za mpaka (mawe) ameridhishwa na hali ya usalama wa mpaka na kuagiza kamati ya ulinzi na usalama wiilaya kuwa na mikutano ya ujirani mwema
Aidha Mkuu wa Mkoa ameshiriki kuteketeza mitambo 6 ya kutengeneza pombe haramu ya Gongo, lita 140 za gongo, pipa 33 za maloweko ya gongo
Amewataka wananchi kuacha unywaji na upikaji gongo.
0 comments:
Post a Comment