Tuesday, February 2, 2016

Mkuu Mpya wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Amos Makalla Akutana na uongozi wa hospitali ya mawenzi, bohari ya madawa kanda ya kaskazini na meneja wa bima ya Afya mkoa Kikimanjaro kujadili uhakika upatikanaji wa dawa katika hospitali ya Mawenzi na hospitali za Mkoa wa Kilimanjaro
Ameagiza na wameazimia Dawa zote muhimu zipatikane na kupunguza urasimu wa upatikanaji wa dawa bohari ya kanda na kuanzia sasa dawa zote zitanunuliwa Duka la MSD Moshi na MSD Arusha
Ameagiza duka kubwa la dawa likamilike ndani ya hospitali ya mawenzi. Leo ametembelea jengo ambalo duka hilo litafunguliwa na tayari mfuko wa bima wa afya Upo tayari kuwakopesha fedha za kununulia madawa hayo.











0 comments:

Post a Comment