Friday, February 19, 2016


Mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania, Herieth Paul ambaye mwezi huu alitangazwa kuwa kisura mpya wa brand ya vipodozi maarufu duniani, Maybelline hatimaye amekutanishwa na visura wenzie.

12677250_1565616213759833_533920648_n

Herieth Paul akiwa na Jourdan Dunn na Gigi Hadid

Mrembo huyo ambaye alizaliwa Dar es Salaam kabla ya kuhamia Canada akiwa na umri wa miaka 10 na kitu, alikutanishwa na masupermodel wengine wakiwemo Jourdan Dunn, Gigi Hadid na Emily DiDonato ambao pia ni visura wa brand hiyo.
12716938_567842380048006_186577064_n
12558750_1731674197064800_1258500393_n

CHANZO:Bongo5.com

0 comments:

Post a Comment