Monday, February 15, 2016


Ikiwa leo ni siku ya wapendanao duniani, taasisi ya One Billion Rising ikishirikiana na wadau mbalimbali wamefanya maandamano ya amani kupinga unyanyasaji wa wanawake.

Maandamano ya kupinga ukatili wa  wanawake
Nancy Sumari akitoa ujumbe
Maandamano ya kupinga ukatili wa wanawake

Maandamano hayo ambayo yalianzia Msasani Club na kuishia Namanga, yamelenga kuihamasisha jamii kuachana na vitendo ambavyo zinawakandamiza wanawake. Angalia picha ambazo zina mabango mbalimbali yenye ujumbe.
Mabango yakiwa na ujumbe mbalimbali
Mabango yakiwa na ujumbe mbalimbali

Mpaka kieleweke
Mpaka kieleweke


Nancy Sumari akitoa ujumbe
Nancy Sumari akitoa ujumbe


Kikundi cha ngoma kikionyesha mambo yao
Kikundi cha ngoma kikionyesha mambo yao

_K0A3474
_K0A3475
_K0A3478
_K0A3483
_K0A3487
_K0A3489
_K0A3493
_K0A3498
_K0A3499
_K0A3501
_K0A3517
_K0A3519
_K0A3534
_K0A3554

_K0A3556
_K0A3567

_K0A3572
_K0A3573
_K0A3574 - Copy
_K0A3577 - Copy

0 comments:

Post a Comment