Baada tu ya kutia wimbo kwenye mkataba wa dola milioni moja na kampuni ya usambazaji wa muziki ya Sony BMG, Davido ameingia booth na rapa TI Yes ni yule T.I kutoka ATL na boss wa lebel ya HKN Davido. Kwenye wimbo huu yupo pia msanii wa Davido ‘Sina Rambo’ .
Thursday, February 11, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment