Posted by Williammalecela.com on Saturday, February 20, 2016
Baadhi ya page maarufu zilizokuwa zinamtetea Wema Sepetu kwa liwalo na liwe huko mitandaoni hasa Instagram wajulikanao kama Team Wema naona baada ya tukio la jana wengi wamekata tamaa na kumua kuhama team na Wengine kuondoa picha za Wema Sepetu kabisa kwenye page zao wakidai Wema Anawachanganya.
0 comments:
Post a Comment