Wednesday, February 17, 2016

Nawakaribisha mafans wangu na wa @VodacomTanzania kwenye #VodacomHourthon kesho (Jumanne 16 Feb) kuanzia saa 9 alasiri hadi saa 10. Nitaongea na nyinyi kwa lisaa na munaweza kuniuliza maswali yote ambayo na nitawajibu. Kesho saa 9 tazama ukurasa wa Vodacom kwenye Facebook. Hii sio ya kukosa, You know #OngeaDeilee

0 comments:

Post a Comment