Wednesday, February 10, 2016

Le Mutuz Nation leo meeting the Marketing Manager wa DSTV-Tanzania Dada Furaha Samalu ikiwa ni matayarisho ya Safari ya Le Mutuz kwenda Lagos kuiwakilisha DSTV-Tanzania katika "AFRICA MAGIC VIEWERS CHOICE AWARDS 2016"
kuanzia March 3/2016. Le Mutuz Nation anatazamiwa kuondoka Tarehe 3 kuelekea Lagos, akifuatana na Muandishi maarufu wa Magazeti ya michezo ya Champion Salehe Jembe.




0 comments:

Post a Comment