Wednesday, February 17, 2016

DSC_0004
Rais mstaafu wa TFF na mjumbe wa CAF Leodger Tenga akifuatilia kwa makini mkutano
DSC_0006
Mwenyekiti wa zamani wa Baraza la michezo Tanzania Kanali Iddi Kipingu
DSC_0008
Kushoto Rais wa TFF Jamal Malinzi akiwa na Katibu mkuu wake Selestine Mwesigwa
DSC_0019
Kushoto ni Filbert Bayi akijadili jambo na mdau wa michezo
DSC_0021
Kulia ni mkurugenzi wa zamani wa michezo wa TFF Sunday Kayuni na katibu mkuu wa TFF Selesine Mwesigwa wakijadili jambo
DSC_0024
Msafara wa waziri mkuu ukiwasili Taifa
DSC_0027
DSC_0028
DSC_0041
Waziri wa michezo, vijana, sanaa na burudani Nape Nnauye akimkaribisha waziri mkuu Majaliwa
DSC_0058
Waziri mkuu wa na katibu mkuu wa wizara ya habari, vijana, utamaduni wasanii na michezo akionesha ramani ya muwekezaji, baada ya kuona ramani ya Taifa
DSC_0063
DSC_0084
DSC_0104
DSC_0115
Rais wa TFF Jamal Malinzi
DSC_0119
Mwanariadha wa zamani na kiongozi wa riadha Tanzania Filbert Bayi akiwasilisha maombi yake mbele ya waziri mkuu.
DSC_0134
DSC_0139
DSC_0154
CHANZO NA Millard Ayo

0 comments:

Post a Comment