Mwenyekiti wa zamani wa Baraza la michezo Tanzania Kanali Iddi Kipingu
Kushoto Rais wa TFF Jamal Malinzi akiwa na Katibu mkuu wake Selestine Mwesigwa
Kushoto ni Filbert Bayi akijadili jambo na mdau wa michezo
Kulia ni mkurugenzi wa zamani wa michezo wa TFF Sunday Kayuni na katibu mkuu wa TFF Selesine Mwesigwa wakijadili jambo
Msafara wa waziri mkuu ukiwasili Taifa
Waziri wa michezo, vijana, sanaa na burudani Nape Nnauye akimkaribisha waziri mkuu Majaliwa
Waziri mkuu wa na katibu mkuu wa wizara ya habari, vijana, utamaduni wasanii na michezo akionesha ramani ya muwekezaji, baada ya kuona ramani ya Taifa
Rais wa TFF Jamal Malinzi
Mwanariadha wa zamani na kiongozi wa riadha Tanzania Filbert Bayi akiwasilisha maombi yake mbele ya waziri mkuu.
CHANZO NA Millard Ayo
0 comments:
Post a Comment