Friday, March 11, 2016

50-cent-southpaw-ny-premiere-2015-billboard-650
Mastaa wa Marekani waliotikisa kwa utajiri miaka kadhaa wameonekana kukumbwa na wimbi la kufilisika hasa wanapotakiwa kulipa madeni wanayodaiwa.

Msanii kutoka nchini marekani, Curtis Jackson maarufu kama 50 Cent, amesema mali zote zinazoonekana mitandaoni zikiwemo pesa, nyumba inayosemekana ipo Afrika n.k, hivyo vyote ni feki havina ukweli wowote.
suspicious-shirt-s_2733121a
Siku chache zilizopita, Judge Ann Nevins alimuamuru 50 Cent kulipa dola milioni tano, pesa hizo anatakiwa kulipwa msichana ambaye 50 Cent alituma video ya uchi ya msichana huyo mtandaoni bila ya kupata idhini yake.
50 Cent amekata rufaa kuhusu kulipa pesa hizo ambazo zinaonekana kuwa ni kiasi kikubwa sana kwake.

Jiunge na Bongo5.com sasa

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Add a comment

0 comments

0 comments:

Post a Comment