Familia ya Diamond Platnumz ‘wakitumbua’ Ulaya.
Wakati
mwanaye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama yake mzazi,
Sanura Kassim ‘Sandra’, mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss
Lady’ na mwanaye Tiffah wakiteketeza
kiasi cha fedha kinachokadiriwa
kufikia shilingi Mil.100 barani Ulaya walikokwenda kula bata, baba
mzazi wa msanii huyo, Abdul Juma anadaiwa kushinda njaa kutokana na
ugumu wa maisha, twende
0 comments:
Post a Comment