Posted by Williammalecela.com on Wednesday, March 02, 2016
Jackie Cliff ni Mtanzania ambaye alihukumiwa kwenda jela miaka miwili iliyopita huko Macao China baada ya kukamatwa uwanja wa ndege akijaribu kuingiza dawa za kulevya, kwenye hii video ametumabarua ambayo anataka Watanzania wasomewe.
0 comments:
Post a Comment