Posted by Williammalecela.com on Wednesday, March 23, 2016
 |
Tanzania Taifa Stars 1, na imefanikiwa kusonga mbele kutokana na ushindi wa Magoli 2-1 kwenye mchezo wa kwanza.
|
 |
Chad 0
 |
Goli hilo la ushindi lilifungwa na Mchezaji maarufu wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta anayecheza soka la kulipwa huko Belgium na Mchezaji bora wa Africa Mwaka 2015/2016
0 comments:
Post a Comment