Saturday, March 12, 2016

Dj namba moja wa kike nchini Kenya, Pierra Makena hatimaye anakaribia kuitwa mama.
pierra

Makena ambaye anashika namba moja kwa dj’s wa kike mwenye mvuto nchini humo, amezidi kuwa maarufu Kenya na nje kwa kazi yake hiyo.

djpierra
Hivi karibuni imegundulika kuwa Makena ni mjamzito na mimba yake ina miezi mitano mpaka sasa japo kuwa mwazo hakutaka kuweka wazi hilo.

CHANZOna Bongo5.

0 comments:

Post a Comment