Baada ya Cheka kushukuru na kumkabidhi Mh Nape mkanda wake wa Ubingwa aliompiga bondia wa Serbia Geard Ajetovic katika viwanja vya Leaders, mwishoni mwa mwezi February, Mh Nape alimkabidhi cheti Francis Cheka kwa niaba ya wizara.
Cheka akikabidhiwa cheti na Waziri Nape
Francis Cheka mwenye cheti na waziri Nape na mdogo wa mdogo wake Francis anaitwa Cosmas Cheka pamoja na Rais wa TPBO Yassin Abdallah Ostadhi nyuma ya Cheka na Nape





0 comments:
Post a Comment