Vanessa Mdee ‘Vee Money akiwa ndani ya Studio za Global TV Online Ijumaa iliyopita.
UKISHUKA katika Jiji la Lagos, Nigeria kisha ukaulizia miongoni mwa lebo kubwa za muziki ni wazi utatajiwa Chocolate City yenye vichwa hatari kama vile M.I, Ice Prince, Victoria Kimani na wengine kibao.
Victoria Kimani si Mnigeria bali ni Mkenya aliyeweza kutoboa kimataifa na sasa maisha yake kimuziki yapo nchini Nigeria. Mashabiki wengi hususan wa Kenya wana cha kujivunia kupitia Kimani kutokana na kuitambulisha nchi yao.

0 comments:
Post a Comment