Wednesday, March 16, 2016

keri-hilson-again
Rnb staa Keri Hilson aka Miss Keri anarudi kwenye muziki baada ya ukimywa wa miaka mitano.

Keri Hilson ametangaza album mpya na ya tatu kwake iliyopewa jina L.I.A.Rikimaanisha Love Is a Religion. Album ya kwanza ya Keri ilikuwa 2009> In a Perfect World na yapili ilikuwa 2010> No Boys Allowed ikiwa na wasanii Chris Brown, Kanye West,na J. Cole.
Wimbo wa kwanza kutoka utakuwa “Again” na unatoka Ijumaa ya March 18, umetayarishwa na Mike WiLL-Made na kuandikwa na R. City, t
L.I.A.R. inatoka chini ya Zone 4/Interscope/Mosley Music Group na wasanii walioshirikishwa ni pamoja na Chris Brown, Polow Da Don, Timbaland, Danja.

0 comments:

Post a Comment