Dar Es Salaam ni moja kati ya miji 10 inayoongoza kwa kuishi watu wengi barani Afrika, serikali nayo imeamua kuboresha miundombinu ili kuendana na idadi ya watu waliopo. Najua wengi wetu tumezoea kuona daraja la Manzese ndio pekee lilikuwa kubwa kwa ajili ya kivuko cha watu kabla ya daraja la Kimara na Ubungo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)








0 comments:
Post a Comment