Sunday, March 13, 2016



Industry ya fashion imezidi kushika kasi hapa Bongo. Mpaka sasa watu kibao wamepata umaarufu na kuingiza fedha nyingi kupitia mitindo.


Joctan Makeke maarufu kama Makeke ni mmoja kati ya designer ambao wanafanya vizuri kwa sasa. Makeke amewahi kuwavalisha mastaa kadhaa wakiwemo, Mrisho Mpoto, Lady Jaydee na wengine.

Habari njema kwa designer huyo ni kwamba amefanikiwa kupata dili la mualiko kutoka nchini Kenya, kwenye tamasha la East Africa Fashio Week 2016. Tamasha hilo litafanyika kuanzia, Machi 22 hadi 26 mwaka huu.

0 comments:

Post a Comment