Tuesday, March 22, 2016

Siku za Hivi karibuni Msanii wa Kizazi kipya anayefanya vizuri ndani na Nje ya nchi Diamond Platnumz aliweza kunakiliwa na vyombo mbalimbali
vya habari kuwa anampango wa kuongeza mtoto wa pili baada ya kumpata Tiffah kwa mpenzi wake wa sasa Zarina Hassan.

0 comments:

Post a Comment