Saturday, March 19, 2016

Ridhiwani Kikwete
"Watu wa Pwani tulikutana Mkuranga kumsindikiza Dada wa Mwenyekiti wetu Mzee wetu Kipenzi Chetu Mwinshehe Mlao katika safari yake ya Mwisho hapa Duniani. Kama kawaida Kinywaji Madafu lakini huku tukiangalia Mashati yetu yasichafuke.ahahahhahah. Pamoja sana Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega na Abdallah Dallas."

0 comments:

Post a Comment