MchezajiwatimuyaAzam
FC yajijini Dar es Salaam ShomaryKapombejanaamekabidhiwakitita cha
shilingiMilioni 1/- kutokananakuibukakuwamchezaji bora waligiyasokaya VPL
inayoendeleakwakipindi cha mweziJanuarimwakahuu.
Kapombeamekabidhiwakititahicho
kutokakwamdhaminiwawaligihiyo Vodacom Tanzania katikauwanja
waklabuanayoichezeauliopomaeneoyaChamanzi,jijini Dar es Salaam. Akiongeamudamfupibaadayakukabidhiwa
zawadihiyo ikiwanituzoyauchezajibora,Kapombealisemaamefurahiakuwamiongonimwawachezajiwaliopatatuzotuzonakuongezakuwaimezidikumtiamoyonabidiiyakujitumazaidi.
“Nashukuru Vodacom
kwakuwapatiazawadiwachezajiwanaofanyavizurikwakuwainawazidishiakasiyakujitumazaidi,pianawashukuruwachezajiwenzanguwotewaAzammaanabila
jitihadazapamojasiorahisimchezajimmojaukaibukanakuonekana bora kwakuwakatikamchezowasokasotetunategemeana”.Alisema.
Kwa upande wake
MenejaUhusianowa Vodacom Tanzania,MatinaNkurlualiyeambatananaOfisawaBodiyaLigi,
Joel BalisidyapamojanaOfisaUdhamininaMatukiowakampunihiyo, Ibrahim
Kaudekatikakumkabidhizawadihiyoalimpongezamchezajihuyonakuongezakusemakuwa
Vodacom
inajivuniamafanikioyanayoendeleakupatikanakatikaligihiyonainampangowakushirikiananawadauwenginewasokakuzidikuiboreshazaidi.
Kapombealitwaatuzo
mweziJanuariuliokuwanaraunditatu, alichezadakikazote 180
zamechimbilizatimuyakedhidiya African Sports naMgambo Shooting.
MechiyatatuyaAzam
FC katikaraundihiyodhidiya Tanzania Prisons ilikuwakiporo, nailichezwaFebruari
24, 2016.
Kapombealifungamabaoyotemawilikwenyeushindiwamabao
2-1 watimuyakedhidiyaMgambo Shooting. Pia alisaidiakupatikanabao la
Azamkwenyemechidhidiya African Sports iliyomalizikakwasareyabao 1-1,
namaranyingimashambuliziyatimuyakeyalianziaupande wake.
WashindaniwaKapombekwenyekinyang'anyirohichokatikamwezihuowalikuwamshambuliajiwa
Tanzania Prisons ya Mbeya, Jeremiah Jumanabekiwa Coastal Union yaTanga, Miraji
Adam.

0 comments:
Post a Comment