Posted by Williammalecela.com on Thursday, March 31, 2016
Pastory Michael Kajembe apata Ajali ya Gari akiwa na familia yake, jana alfajiri katikati ya Mtera na Mpunguzi,Mkoani Dodoma na Kupoteza Watoto wake Wanne kwa pamoja Junior, Isaac, Gabriel na Glady katika ajali hiyo.
0 comments:
Post a Comment