Friday, March 11, 2016

12747601_1542243719438942_2022119773_n
Rich Mavoko bado hajasaini na Wasafi Records, kwa mujibu wa meneja wa Diamond, Sallam.

Awali msanii wa WCB, Harmonize alidai kwenye interview kuwa hitmaker huyo wa Roho Yangu ameshainguka saini na kujiunga kwenye himaya hiyo.
Sallam amelazimika kuweka mambo sawa kupitia Twitter.

CHANZO na Bongo5.

0 comments:

Post a Comment