
Rich Mavoko bado hajasaini na Wasafi Records, kwa mujibu wa meneja wa Diamond, Sallam.
Awali msanii wa WCB, Harmonize alidai kwenye interview kuwa hitmaker huyo wa Roho Yangu ameshainguka saini na kujiunga kwenye himaya hiyo.
Sallam amelazimika kuweka mambo sawa kupitia Twitter.
0 comments:
Post a Comment