Tuesday, March 15, 2016



Mtoto mwenye miaka sita achomwa moto kiganja chake na mama yake mzazi kwa madai ya kudokoa Maharage huko Mkoani Songea.

Mama huyo aliyemchoma moto anashikiliwa na Jeshi la Polisi katika kituo kikuu cha polisi Songea.

0 comments:

Post a Comment