Wednesday, March 9, 2016

UGANDA: Kijana wa mwaka wa kwanza Chuo Kikuu ajikata koo kisa wivu wa mapenzi. Alimpigia simu mpenzi wake, ikapokelewa na mwanaume. 

-Marafiki zake walifanikiwa kumkimbiza hospitali, madaktari wanapambana kuokoa maisha yake.

0 comments:

Post a Comment