Sunday, March 13, 2016

March 12 2016 kulifanyika utoaji wa tuzo kwa wanawake, tuzo ambazo zimepewa jina la Malkia wa Nguvu, tuzo ambazo zimeandaliwa na Clouds Media Group na kutolewa JijiniDar es saalam.
Nimekuwekea picha 20 hapa kutoka kwenye utoaji wa tuzo….



Tuzo zilizotolewa

Miss Tanzania 2015-2016, Lilian

Mc PiliPili

Msanii Nikki wa Pili


Katikati ni Msanii Maua Sama Kushoto ni Msanii Dayna Nyange

Mkurugenzi Mkuu wa vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group- Ruge Mutahaba

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda

Mh. Anne Makinda (Spika Mstaafu)

Picha ya washindi wa tuzo, waandaaji na Mgeni rasmi


Msanii Linah na Mh Anne Makinda




Mkuu wa vipindi na Maudhui Clouds Media Sebastian Maganga



U

0 comments:

Post a Comment