Thursday, March 31, 2016

Dunia imejaa mambo mengi ya kutisha na kushangaza lakini hii ya uyu mtoto ni hatari zaidi. 


Mtoto huyu wa miaka kumi na mbili ameshangaza madaktari na watu mbali mbali duniani kwa kutoa vipande vya chupa katika macho yake. Inasemekana mtoto huyu hutoa vipande 7 vya chupa katika macho yake kila siku.

0 comments:

Post a Comment