Saturday, March 5, 2016



Twiga Stars wamechapwa 2-1 na Zimbabwe katika mechi iliyochezewa uwanja wa Azam complex jijini Dar es Salaam.
Magoli ya Zimbabwe yamefungwa na mchezaji Elina Jeke mabao yote mawili nalo bao la Twiga Stars likatiwa kimiani na Mwanahamisi Omar.

0 comments:

Post a Comment