Wednesday, March 16, 2016



Wema Sepetu ameacha kupiga picha na kuzitupia Instagram kutokana na kunenepa sana, na zoezi hilo litakwenda hadi hadi mwezi June.


About Yesterday… Tulivyoalikwa na Makamu wa Rais… Mama Kipenzi… Mama Darling…. Mama Samia Suluhu Hassan… Ni hii tu naipost sababu nampenda sana Huyu mwanamke… Ila sasa hivi sijui nijifungie tu ndani maana zoezi la mpaka June ni Kubwa…. Haiya na msisahau kunipa na ushauri wa dawa gani za kutumia nipungue sio kwa ubonge nilionao sasa… But nat my fault ni fault ya vile vitwins vyangu vile Weightloss imekuwa ni ngumu sana kwangu… Wat do I dooooo….?? Mashavu, Mamikono, Minyama… Mtumbo….!!! Nilisema mpaka June atleast nijitahidi kupungua ila sijui ni nini hiki… Hel

0 comments:

Post a Comment