Tuesday, March 29, 2016

"Tumedhamiria kuhakikisha milima yetu ya usambara na watu wake inapiga hatua katika maendeleo!

NEW LUSHOTO YETU ni kundi la whatsup lililozaa taasisi ya U.D.I yaani USAMBARA DEVELOPMENT INNITIATIVE
Lengo likiwa kushiriki kikamilifu ktk harakati za maendeleo ya milima yetu ya USAMBARA pia kuunga mkono dhana ya 'HAPA KAZI TUU' kwa ushirikiano na serikali mashirika binafsi mashirikka ya umma na watu wote wenye nia ya dhati.
KWA PAMOJA TUNAWEZA Antepass Mbughuni/ZUMBE MTANA (Chief admn/board member NEW LUSHOTO YETU/U.D.I)"





0 comments:

Post a Comment