Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipekuwa baadhi ya nyaraka zinazoonyehsa jinsi wizi wa fedha za serikali uliofanywa kwenye bandari ya Dar es salaam ukihusisha mabenki wakati akizungumza na Mawakala wa Forodha na Bandari kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Machi 21, 2016.
Baadhi ya Mawakala wa Forodha na Bandari wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salam Machi 21, 2016.
(Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment