Inashangaza!
Wakati wengi wanaamini mzazi hakosei, kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu
Abdul ‘Diamond’ hali ni ya tofauti kwani licha ya kuaminika ana ukwasi
wa kutosha, analalamikiwa
kutomsaidia baba yake waliyetofautiana, Abdul
Juma kiasi cha kukutwa akifanya kibarua cha kumenya viazi vya chipsi ili
apate senti za kujikimu, Risasi Jumamosi limeinyaka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment