Thursday, April 21, 2016


Mh. Kafana Mussa (Kimimbi) diwani wa kata ya Kiwalani (CUF),

ameshinda nafasi ya Unaibu Mayor wa jiji la Dar ktk uchaguzi uliofanyika leo. Matokeo ni kuwa CUF (UKAWA) wameshinda kwa kura 16, na CCM kura 10.

0 comments:

Post a Comment