Posted by Williammalecela.com on Saturday, April 23, 2016
 |
"Jana
katika bunge nikiihoji serikali ni lini serikali itatatua kero ya
Pembejeo za Kilimo kutofika kwa wakati kwa wakulima,
kuchelewa kufika
kwa mbegu na mbolea kwa wakulima kunaondoa dhana nzima ya kumsaidia
mkulima na lile lengo la kumnufaisha mkulima halitimii....Serikali
imeahidi kujipanga vizuri na kuweka mikakati mizuri kuhakikisha mbolea
na mbegu zinafika kwa wakati.." - Mh. Neema Mgaya |
0 comments:
Post a Comment