Wednesday, April 27, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Amos Makala azindua mradi wa uimarishaji wa mifumo ya sekta ya umma mkoani Mbeya
Ameishukuru shirika ka la maendeleo la marekani( USAID) kufadhili mradi huo ambao utasaudia kuondoa Kero la watumishi hewa, mawasiliano ndani ya serikali na kwa wananchi na pia itaboresha mapato na kudhibiti upotevu wa mapato.





0 comments:

Post a Comment