Baada ya kutiwa pingu
Amani lilishuhudia tukio la kuletwa kwa msanii huyo ambapo Jumatatu saa kumi na moja jioni, alishushwa kwenye Basi la Kirumo Stendi Kuu ya Mabasi ya Mkoani, Ubungo jijini Dar.Akumbwa na aibu ya mwakaAtokwa machozi baada ya kuona watu wakimsikitikia kutiwa mbaroni.
Kumbe sio gari tu.Adaiwa kukomba na vitu vya ndani ya nyumba pamoja na pesa za mumewe.Atokomea navyo Arusha.Baadaye akarudi kuomba msamaha tena wa maandishi kwa mumewe, akasamehewa.Baada ya siku chache, atoroka tena na gari hiloPolisi wamsaka, wamnasaAMANI lanasa skendo nzima.
Mademu wa bongo muvi bwana, yaani kil mmoja anaishi kwa maisha ya maigizo kama ya Wema.
ReplyDelete