Monday, April 18, 2016

Marehemu Henry Kiherile enzi za uhai wake 
Gari lililobeba mwili wa Henry likiingia kanisani 


Wachungaji wakiwa nje ya kanisa kabla ya ibada 










Jeneza lililobeba mwili wa Henry likiingizwa kanisani 






Dada Lulu ( mdogo wa Marehemu Henry ) akimuaga kwa uchungu kaka yake 






Mr. & Mrs. Tenende ( Baba na Mama mkubwa wa marehemu ) wakiwa kanisani 






Waombolezaji wakilia kwa uchungu 






Rafiki wa Henry kutoka Cameroon 






Waombolezaji 























































































































































































Jioni ya jana Jumamosi (16/04) Jumuiya ya Watanzania waishio katika jiji la Houston na miji mingine ya karibu ilifanya Ibada Takatifu katika kanisa la Umoja kumuaga mpendwa wao Henry Kiherile aliyefariki wiki moja na nusu iliyopita baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Ibada hiyo ilihudhuriwa na idadi kubwa ya watu waliokuwa na huzuni kubwa juu ya kifo hicho kilichogusa mioyo ya watu wengi. Mwili wa marehemu Henry unatarajiwa kusafirishwa jioni ya leo kuelekea nyumbani Tanzania kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa tarehe 22/04/2016. Pata picha za Misa hiyo hapa chini.

0 comments:

Post a Comment