Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipewa maelekezo jinsi mtambo wa usimamizi wa masafa unavyofanya kazi katika ofisi za mamlaka ya mawasiliano Tanzania(TCRA).Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo Dk.Ally Simba.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipata maelekezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Posta wa TCRA Bw.Haruni Lemanya jinsi mitambo ya mawasiliano ya kizamani iliyowekwa katika makumbusho ya mawasiliano iliyopo katika ofisi za mamlaka ya mawasiliano Tanzania(TCRA).Kulia kwake ni ni Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo Dk.Ally Simba akifatilia kwa karibu.
0 comments:
Post a Comment