
Missrizy
Rapper huyo amethibitisha uhusiano huo exclusive kupitia Bongo5. Wawili hao walifanya wimbo uitwao ‘Hawajui.’
“Tuna chemistry kubwa sana na Missrizy sio tu kwenye muziki yaani hata tukikaa hivi tu, kwahiyo she is my best friend and girlfriend,” amesema.

M-Rap na Missrizy
“Sijawahi kusema ila nimeamua nikuambie sasa hivi kwasababu watu wengi wamekuwa wakiniuliza, let me be open.”

Amemzungumzia Missrizy kama muimbaji mwenye kipaji kikubwa cha kuimba, kutunga na kucheza.

Hivi karibuni wawili hao walichukuliwa na uongozi mpya uitwao Muki International.
0 comments:
Post a Comment